Up next

SportsManiac
SportsManiac
7 Subscribers
7
In Sports / Vcasts

Magoli | KMC 1-3 Simba | NBC Premier League 26/12/2022

Simba imeendeleza ubabe dhidi ya KMC, ikiitandika magoli 3-1 leo kwenye Dimba la CCM Kirumba Jijini Mwanza mchezo wa #NBCPremierLeague

Magoli ya Simba yamefungwa na John Bocco dakika ya 16, Augustine Okrah dakika ya 55 na Henock Inonga dakika ya 73 huku goli la kufutia machozi kwa KMC likifungwa na Sadala Lipangile dakika ya 52.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next